Lowassa Kaitwa Fisadi Papa Amekaa Kimya, Lowassa Kaitwa Mpumbavu Bado Kakaa Kimya, Kaitwa Lofa Bado Yupo Kimya, Kaitwa Kapi Na Oil Chafu Akakaa Kimya Na Leo Hii Anaitwa Msanii.
Majina Yote Machafu Aliyopewa Lowassa Na Bado Amekaa Kimya Watu Hamuoni Aibu!
Mwogopeni Mungu Lowassa Ni Binadamu Bana.
Nilipewa mtihani wa kumchekesha jamaa mmoja ambaye hajawahi kucheka toka azaliwe. Nikawaza, nifanyeje hadi acheke!?
Nikamfuata jamaa nikamuuliza ni chama gani kitashinda mwaka huu akasema ni UKAWA, nikamwambia katika uchaguzi mwaka huu CCM lazima washinde, jamaa kusikia hivyo alicheka hadi...
Habari Ndg wana jf.
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya mgombea urais wa CCM ndugu Magufuli.Kila akipita kwenye mikutano yake utasikia "Nilichukua fomu kimya kimya, nilitangaza nia kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya na nikatafuta wazamini kimya kimya." Hivi kwa kusema hivi anamaanisha nini...
Habari wana jf
karibuni kwenye mchezo wa kutunga sentensi kwa kutumia Id zetu.
Atakayetunga sentensi nyingi zaidi ndiye mshindi na zisijirudie.
Naanza;
1. Ritz ukikaidi utapigwa2.
endeleeni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.