Salaam wanajf .<br />Naomba msaada kwa tatizo hili:<br />PC aina Acer aspire ES-512 ilizimika baada ya umeme kukatika.<br />Umeme uliporudi nimeichaji lakini imekataa kuwaka kwa kutumia power on switch.<br />Je kuna namna nyingine ya kuiwasha>Tafadhali nisaidie
CCM
Hakuna watu.
Tafakari : Sehemu zote walipotoka madiwani au wabunge kumuunga mkono Rais ,Uchaguzi uliporudiwa ni akina Nani waliteuliwa kugombea nafasi ziloachwa wazi?
Hawa " waliolost" ndio kila kukicha tunasikia wamehamia chama fulani kuunga mkono juhudi za.....
Wakifika huko wanawakuta mpo mpo tu wanapita katika chaguzi kwa vishindo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.