Search results

  1. D

    Umbea wa Rais wa Yanga kwa Motsepe umeiponza Yanga

    Mambo Yakiwatofauti hawachelewi kusema Yanga wamechezesha majini😀😀😀
  2. D

    UKIMWI upo ndugu zangu

    Vijana wenye ndoto pia wanaambukizwa ukimwi na mishangazi yenye pesa zao kwa kupenda vitonga na wao kuwaambukiza wadada wadogo wenye ndoto zao
  3. D

    UKIMWI upo ndugu zangu

    Eti tuwe makini na wadada, hivi hao wadada huwa wanajiambukiza ukimwi wenyewe bila kukutana na wanaume waathirika.
  4. D

    Kumbe Yanga ilicheza na timu ya vijana ya CR Belouzdad, mashabiki wanamjia juu kocha kwa kudharau mechi

    Kikosi walichocheza na yanya mwanzo kinatofauti gani na hicho cha jana
  5. D

    Kumbe Yanga ilicheza na timu ya vijana ya CR Belouzdad, mashabiki wanamjia juu kocha kwa kudharau mechi

    Mpaka kesho mje na jambo moja ijulikane maana mnatuchosha , yanga ilitumia uchawi, ilicheza na timu ya watoto, ilibebwa na refa au inaubora.
  6. D

    FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

    Umesahau tusi gani uongeze iliupoze maumivu yanayokusibu😀😀😀😀😀
  7. D

    Yanga wako OVERATED, kisa eti kumfunga Simba!! Coastal kathibitisha hivyo jana

    Simba wapo underated kisa kulazimishwa draw na Namungo fc
  8. D

    Nahitaji ushauri na mawazo nina uoga wakuangalia balance yangu ya hela benki

    Sasa kama unachota tu mpaka ziishe unataka uangalie nini, tafasiri yake kama unachota mpaka zinaisha unabakiza hela ya kutunzia account.
  9. D

    EX wife wako akikujibu hivi Baada ya majibu ya DNA. Utachukua uhamuzi gani?

    Kwa akili hizi lazima kulea mtoto asiyewako, kumbe wanaume kuzini ni haki yenu kwakuwa wanawake hawawezi thibisha mmezini kabla ya ndoa
  10. D

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Hivi ni muda gani unaweza ukajua huu muda sasa news imekaribia uingie sokoni na je news zinakuwepo kila siku????
  11. D

    Simbachawene: Muda wowote kutoka sasa Serikali itatangaza nafasi za kazi kwenye utumishi wa umma

    Wewe chawa mbobevu kupata kazi ni haki ya vijana wote waliosoma sio suala la upendo mtu flani kutoa kazi. Sasa vijana
  12. D

    Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

    Unaweza kuta yeye ndio kainunua.
  13. D

    Video: Mpina akiwasha tena Trilioni 2 za SGR, ataka mkandarasi atimuliwe

    Wiziwizi tu, kwa hiyo CAG ni muongo basi hatuna haja ya kuwa na CAG maana Hana anachokifanya kikasikilizwa.
  14. D

    Nitawadharau sana wananchi wakijiona giant kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja

    Mbumbumbu at your best🙌🙌🙌🙌🙌
  15. D

    Marumo Gallants walipowasili asubui hii walikataa basi waliloandaliwa na wenyeji wao

    Yanga kitu pekee inaweza kujifunza kwa Simba ni uchawi tu.
Back
Top Bottom