Search results

  1. L

    Zitto aishutukia EWURA juu ya kutoshuka kwa bei ya mafuta

    Inasikitisha sana. Tatizo tunawachagua watu wasiotujali hata kidogo. Najiuliza wako wapi viongozi wetu tunaowapamba kila siku majukwaani kuwaita waheshimiwa, Wapendwa. Tunawapa shahada za udaktari na uprofesa wasiousomea ili watuhudumie kwa upendo. Tunawapa ulinzi na kuwapisha barabarani wawahi...
  2. L

    KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

    Acha umbeya. Mzee wa usharika unashindwa kumuuliza mchungaji wako. Haya majungu tu
  3. L

    Pandu Ameir Kificho: Baraza la wawakilishi Zanzibar msimamo wake ni serikali 2

    Aisee hawa ni viongozi wa ajabu sana. Watanzania wooooote wanajua msimamo wa wazanzibari kuhusu muungano hata mtoto wa darasa la kwanza. Huu ukigeugeu artificial utawafanya wageuke mawe
  4. L

    Mtikila: Nitajiuzulu Bunge la Katiba na kufungua kesi Mahakama Kuu

    Napata tabu sana kwa sababu inaonekana mjadala mkubwa umewekwa kwenye suala la muungano na serekali 3. Hata wasomi wamezama katika jadala huu wakati ambapo katiba ni ki2 kikubwa zaidi ya muungano. Mijadala mingine yenye faida kwa nchi imewekwa pembeni kabisa. Inaelekea wajanja wamefanya hivyo...
  5. L

    Dunia imefikia hapa

    Imeandikwa OLE WAO WAFIRAJI. Wasamehe maana hawajui walitendalo
  6. L

    Kweli sikio la kufa, halisikii dawa...Kenya ishakua too much!

    Nilijua wakenya watapata tabu sana na hizi kesi. Nina hakika wangejua wasinjechagua hawa jamaa. Ikulu mahali patakatifu, haiitaji mtu anayeandamwa na kesi hata kama ni ya kuhisi tu. Ona sasa wanavyopata tabu
  7. L

    Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

    Warioba yuko sahihi kabisa. Anachofanya warioba ni kutoa na kutetea maoni ya wananchi aliyoyakusanya. Serikali 3 hajasema warioba, Hayo ni maoni ya wananchi, Wanaotaka sereikali 3 waitetee kwa hoja sio kwa nguvu. Tatizo ni kwamba sasa hatuna viongozi wenye ushawishi wa kutetea hoja na ndio maana...
  8. L

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    Ingawa sijawahi kupitia mikononi mwake kimatibabu lakini nilimuenzi sana na kusema kweli hizi ni habari za kusikitisha sana. Mungu amlaze pema paradiso
  9. L

    Hali ya Mtwara mchana huu

    Mkuu kuna vinyamuzi vya kutosha kule Mtwara?
  10. L

    Sarakasi za Matokeo zaendelea!

    Hii ni dhambi mbaya sana. Iko siku Mungu atashusha hasira yake na hakuna kiongozi atakayebaki. Mimi nitadumu kwenye maombi. MUNGU IBARIKI TANZANIA
  11. L

    Matokeo Kidato IV: Utata mtupu!

    Hakuna wakati taifa letu limechanganyikiwa kama sasa. Fikiria walioidhinisha matokeo ndio wanaotengua wakingali madarakani. Ilikuwaje Lukuvi atoe tamko la wizara ya elimu wakati waziri husika na naibu wake wako. Mimi nilidhani walishajiuzulu. Mwenyekiti wa NECTA na Katibu mtendaji kama...
  12. L

    Kauli ya Maaskofu kwenye Kikao na Rais Jakaya Kikwete kilichofanyika Ikulu 23.04.2013

    Hakuna kitu kinaniudhi kama viongozi wetu wanaposema eti tuvumiliane. Huwa najiuliza, Tunavumiliana nini? Askofu akiingia kanisani akahubiri habari za Kristo kwa wakristo kuna tatizo? Kama hakuna.... kuna cha kuvumilia? Shekh akiingia msikitini kuhubiri mtume wake kwa waislamu wenzake kakosea...
  13. L

    Ni aibu ujumbe unaongozwa na Rais Kikwete kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje Uholanzi

    Ukitaka kuheshimiwa ni lazima wewe ujiheshimu kwanza. Wazungu wana story zote kuhusu watawala wetu. Wanawajua walio Sirius na wanaopita njia tu
  14. L

    Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

    Ninachoona kuna makosa pande zote ila ikitoka adhabu inaenda upande mmoja. Hii imekaaje
  15. L

    Kauli hii ya Mch. Antony Lusekelo (Mzee wa Upako) sio ishara ya kujisahau?

    Tafuteni kwanza ufalme wa mbunguni na mengine yooote mtazidishiwa. Nilidhaini hili analijua
  16. L

    Askofu Mokiwa avamiwa, mlinzi wake taabani!

    Ole wao siku mkono wa Bwana utakapoanguka juu yao. Itakuwa kilio na kusaga meno. Wenye akili tunaendelea kusali, Kumbuka akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto. Wanaitafuta hasira ya Bwana. Mimi naogopa sana
  17. L

    Uchaguzi Mkuu Kenya: Ghasia zaanza Kisumu

    Nitasikitika ssana nikiona tena Kenya inaingia matatani shauri ya wanasiasa, Sijui tutatumia utaratibu gani wa kupata vuingozi bila siasa, Nimeichukua siasa sana shauri ya WANASIASA
  18. L

    Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

    Nasikitika sana m2 mwenye tuhuma kuingia ikulu hata kama masingiziwa. (Kumbuka ikulu ni mahali patakatifu). Ucheleweshaji wa kura ni hatari sana mahali popote. Ndio maana wenzetu hawachelewi kupongezana mara anapoona mwenzake kashinda maana anona uhalali
  19. L

    Hivi nini kinawamaliza WASANII wetu wa BONGO MOVIE??

    Usianze kutafuta njia ya waganga bure. Kila aliyezaliwa na mwanamke atakufa bila kujali ni msanii, mwanasiasa, mchungaji, sheh wala ki2 chochote
  20. L

    PICHANI; Mnuso wa NGUVU wa MWAKA MPYA MONDULI kwa LOWASSA...

    Safi sana, Mbona kawida tu. Kwani kuna kipi cha ajabu. Mbona sherehe za mwaka mpya zilikuwa nyingi tu
Back
Top Bottom