Kuna watu wababaishaji sana nchi hii. Unaandika habari hata haujui chochote. Eti habari inaandika "Vatican City" halafu source yake ni BBC. Niliwaonea huruma sana huyu mwandishi, mhariri wake na mmiliki/wamiliki wa gazeti hilo. Wana safari ndefu sana kufikia malengo yao
Hiyo ni kwa mujibu wa democrasia ya kichwa chako. Mambo ya Ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe. Wewe endelea kujitwalia na kuweka ndani kwa kadri unavyoweza
Wengi mnapiga bla bla tu hamjui mmiliki/wamiliki mnadakia juu kwa juu. Halafu hii ni Clouds Media Group ina maana chini yake kunaweza kuwa na several companies zenye different ownerships. Kwanini tuamini kama ni Kusaga's just because ndiyo tunawasikia na wasiwe watu wengine. Mnaweza kutoa...
Una uhakika mkuu? Ancient Roman Empire ni tofauti kabisa na Catholic Church. Soma vizuri historia. Hebu soma link hii utapata japo kidogo ufahamu The Roman Empire and the Vatican - Vatican Articles
Acha upuuzi. Ndiyo abakwe hadi kufa? Hivi unadhani kifo kwa tendo hilo unaona ni kitu kidogo hivyo. Ni unyama mkubwa sana ambao mnatetea. Hakuna sababu yoyote kubwa ya kuhalalisha kuondoa uhai wa mtu kwa njia kama hizi
52,000 kila kiwanda kimoja kikitoa wastani wa ajira 100 ni wananchi 5,200,000 watakuwa wameajiriwa. Hapo bado kuna sector nyingine. Tatizo la ajira liko wapi? Huyu anahesabu hata vile vya kufunga ubuyu, korosho na karanga
Mkurugenzi anacheza "mind and safe game" Kamkatalia mkuu wa mkoa. Kavujisha taarifa ili apate nafasi ya utetezi wa wananchi kwa yale anayoagiza mkuu kinyume cha taratibu, katengeneza mechanism fake ya kupiga kura kubaini waliovujisha siri ili mkuu wa mkoa ajue yuko pamoja naye na mwisho anamwita...
Yesu si binadamu ni Mungu Yohane 1:1-4. Na kwa kuwa ni Mungu hakuwa na sababu ya kujionyesha yeye bali kutimiza mapenzi ya Mungu Baba. Hakutaka kujitukuza yeye "... mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo" Hayo mambo yenu ya "Mtanijua mimi ni nani" mtabaki nayo ninyi...
Ni kweli inabidi wafikirie namna nyingine ya kuwasaidia walemavu kama kutengenezewa card maalum na uwepo udhibiti wake kwa wasiokuwa walengwa. Lakini kwa utaratibu wa kufungua mageti kwa ajili yao polisi na wajeda watatumia loophole hiyo.
Bora wewe hata wamekuruhusu kulipia. Mwanza eneo la Kadinda mita kama 500+ kutoka makao makuu ya Wilaya ya Ilemela watu wameomba umeme tangu mwaka 2012 kila siku ni story tu. Ni makazi mapya na kuna wateja karibu 100 sasa. Ukisikiliza story zao zinakera kweli
Kilichotokea sidhani cha kiungwana hasa ukizingatia anayemwongelea. Rais si wa kuongelea familia ya waziri kama vile. Kumshangaa mke wa Waziri kufanya kazi kwenye shirika linalopata hasara na kukaribia kufa ni kumaanisha kwamba alitakiwa kuona fursa kwenye mashirika yenye fedha ambayo wakubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.