Una option mbili either kuoa mama wa nyumbani au ukiwa muoga oa mwenye hela zake ila husimpangie na swala la utii sahau.
Mwanamke ni mbinafsi kwenye hela yake na hela yake ni chungu haijawahi kuwa tamu.
Ndio tabu ya kuithaminisha ngono kwa fedha na haya yote wameyataka dada zangu,unatokngozwa siku ya kwanza gas imeisha,kodi unadaiwa,screen ya simu inavunjika,unadaiwa mchango nk na bado hapo ana presha za kila za vikoba na michezo majina matatu,ambazo anataka zisolvie na huyo mwanaume.
Hii...
Chizi anafurahisha akiwa wa Jirani yako,kwani lazima uzae nae.
Unamjua Kevin Twisa yule kagonga sana Mamiss wa waliokuwa wakishiriki Miss Tanzania,enzi hizo akiwa Vodacom kama mkuu wa kitengo cha mauzo na hajawazalisha hovyo.
Mbona ngozi kama hizo hata sisi tunagonga,hila hatuna ulimbukeni...
Unatimiza majukumu yako ya kuwalea na kuwapa mahitaji yao ya msingi.
Ila ukitaka kujua uchungu wanao pitia wazazi wa single mother, hata mabroo wa single siku ikikutokea kwa binti yako ambaye yupo kwenye himaya yako.
Wanaume tunapenda ngono, ila tujitahidi kujizuia kuzaa hovyo hovyo na...
Nilijua utapotokea niliexpect hilo,unaangalia mziki vipi wakati ushasema walimbania,leo amekuwa mpuuzi wakati MWANZO UKISEMA INDUSTRY INAMTEGEMEA YY,sasa mtuu awe mpuuzi halafu INDUSTRY imtegemee.Huoni wewe ndiyo mpuuzi kwa hizi statements zako.
Yaani unaona jamaa atumie hela zake kwenye mziki...
Yale yale wewe nawe team Harmo ndio maana ukaongia kwenye mumbo wa kusema wamembania
Halafu unasema "GAME INAMTEGEMEA " inamaana Mondi akiacha bongo fleva inapotea. Yaani atumie hela zake kufanya Charity ya kumbeba kila msanii. Nimekuuliza ungekuwa ww ungefanya kama anavyofanya...
Hivi ninaposema system hazipo Transparent unaelewa maana yake? Wewe unazani nani anaye takiwa kujenga system imara?
Mbona nilikuambia mfumo wa Naija na wakwetu tofauti nilikuelezea, naija msanii anakuwa ila mifumo ipo huku.Huku kwenu hamna husifananishe wala kulingaisha Industry ya Naija na...
Hamna label inayofanya hivyo duniani hamna sio Charity label zote zinaangalia faida.
Hamna mwekezaji atamuonea wivu mtu anaye ingimuingizia hela hayupo.Sema hivi vimaneno vya waswahili,msanii akishaanza kung'aa ndivyo vinawafanya wengi wanye mioyo ya kuanzisha label kuachana nayo.
Ipo wazi wapi US mziki ukipigwa kwenye radio,TV na sehemu za Starehe unalipwa ,kwenu huku mnafanya hivyo ma je system ipo transparent?Unafananisha industry ambayo ina njia nyingi za kuingiza hela na hii ya kwenu ya kuungaunga.
Wanambania vip ?,wakati mtu anategemea faida kutoka kwake.
kumbe na ww ni mswahili ina maana Ibrah Konde anabaniwa..... Ndio maana nilikuambia AY,Ommy na FA hawapendi haya maneno ya kwenu ndio maana hela zao wameamua kufanyia mengine. Sometimes bora ile hela ya Harmo angeenda kulia bata au hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.