Mimi pia walinikera sana..nilikuwa kwenye mchakato wa kuwalipa, lakini kwa usumbufu, dharau, jeuri, vitisho na blabla zao nikawaambia waendelee na mikwara yao, mimi sitishwi na mikwara. Laki mbili yao....sijaguswa kuwalipa
Vyakula vyako na vinywaji vyako ndiyo wabaya wako nambari moja. Ukiweza kutawala ulaji wako tatito lako limekwisha. Jiangalie ulaji wako na unywaji wako. Kuna vitu kama wali, chips, nyama, soda/juice, enegy, bia, nk.. Kama unatumia sana anzia hapo kurekebisha.
NB; HUWA NAAMINI NI UPUMBAVU...
Ulichojibu siyo ulichoulizwa. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kufika kileleni kwa mwanaume na kufika kileleni kwa mwanamke. Unaweza dhani kumwaga mara nyingi ndo kumfikisha mwanamke, kumbe siyo. Hakikisha amekojoa! Hata kma unaenda round moja. La sivyo hata umwage mara kumi atakuona boya tu.
Umenikumbusha nyumbani. Ulichosema ni kweli, maeneo hayo kwa ukimwi ni noma. Miaka ya 2000 nimeshuhudia watu wakifa kwa ukimwi kwa speed ya hatari tena wale wanakonda hadi unawaogopa. Nilishuhudia binamu yangu ukimwi ukimmaliza, nikashuhudia uncle nae akiondoka ukiachilia majirani. Pia kila...
Jambo la msingi tukumbuke binadamu wote ni wahanga wa kifo. Kushangilia kifo cha mwana ccm ni upumbavu, kushangilia kifo cha mwana chadema ni upumbavu, kushangilia kifo cha msoga camp ni upumbavu, kushangilia kifo cha team jpm ni upumbavu, kushangilia kifo cha muislam ni upumbavu kama ulivyo...
Chadema unafiki utawamaliza. Unafiki unafiki unafiki. Laiti wangekuwa na kauli moja wangebaki salama, lakini undumilakuwili wanauenzi mno, na ndiyo maana wataendelea kugalagazwa na CCM mpaka wapoteane. 2025 itathibitisha niyasemayo
mimi niliacha ajira ya ualimu nikiwa na take home ya mwezi mmoja, na sijawahi juta kuingia kwenye kilimo. Nadhani nafsi yake bado haijawa na nia ya kuacha ualimu
Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa...
Suala la joto si tatizo sana, Nyanya zinapenda joto na zinastawi vizuri karibia miezi yote ya mwaka japo january~march itakubidi upambane haswa maana joto linakuwa juu sana.
Suala la bei ya nyanya sokoni june 2023 libaki kitendawili, mvua zinazoendelea kunyesha bado zinaendelea kuamua bei iweje...
Binafsi ninawaheshimu sana wachaga, kiasi kwamba kuna wakati nilitamani nioe mchaga nipate changanya damu kwa wanangu but it was not my lucky... Lakini napambana mpaka kieleweke. Tena nimejiapiza nisipopata hizo siri za wachaga.. Basi nitajiundia siri zangu na ninaona tumaini mbele yangu
Wanaohofia hoja ya mtoa mada pole yao. Tuache mazoea, kupewa shamba la kulima bure kwa kisarawe ni kawaida. Unaambiwa lima, ukichoka liache. Mimi binafsi nipo arround mazingira uliyotaja na nimekabidhiwa zaidi ya ekari tano napambana nazo mpaka muda huu mwaka wa tatu sasa. Nimeruhusiwa kupanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.