Natamani kuchangia hii mada ila naona imejaa ushabiki sana! CO na MD lao ni moja, majukumu ya kazi yanafanana, Bodi ya kuwasimamia ni moja, kiufupi kazini huwezi kuona tofauti yao wakiwa kwenye majukumu yao ya kawaida!
MD tofauti yake na CO ni Level ya Elimu na si vinginevyo! Kama ni issue ya...
Dini zenyewe ni mapokeo ya haohao waliotengeneza chanjo! Ila mnajikuta wajuaji sana!
Haya yote ni serikali inakwepa majukumu yake ya msingi kulinda Afya za wananchi wake😢
Leo hii, hata ARVs zikiacha kupokelewa kwa msaada (likawa jukumu la serikali kununua) nakuhakikishia nyie wapuuzi mtakuja...
Wazee wa Lawama kazini😂
1. Vyuo vya Afya vya serikali vyote, mwanafunzi anajitegemea chakula
2. Vyuo vya Afya vyote vya Umma ambavyo viko chini ya wizara ya Afya, Joining Instructions zinafanana kila kitu
3. BIMA (NHIF) ndo kwanza vyuo vimefunguliwa November ushaanza kulalamika muda huu?
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.