Ninaomba msaada, kama mtu anafahamu wapi naweza kupata takwimu za asilimia ngapi ya watainiwa wa darasa la saba, walijinyakulia sufuri katika somo la hisabati kimkoa hapa tanzania kwa miaka mitano iliyopita anitonye.
Chumba kimoja kwenye nyumba ya vyumba sita vya wapangaji kinapangishwa eneo la sinza Block C walking distance toka Chuo Kikuu cha Da res salaam. Kodi ni shilingi za Tanzania hamsini elfu kwa mwezi. Kinawafaa zaidi wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Kama unakihitaji piga simu namba 0713...
Nina Engine 12R ya Toyota Hilux ambayo nataka kuiuza. Haina starter wala carburreter yeyote anayeihitaji au anajua muhitaji anijulishe. unaweza kunitumia email kwenye address yangu ambayo ni alphonce@maths.udsm.ac.tz au kunipigia simu 0713344431.
Bei ni maelewano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.