Ninavyodhani mie kuna vifo,majeruhi na manusura.
Inawezekana hiyo idadi isiyoonekana labda ipo kwenye manusura
Maana ukiangalia sehemu ya nyuma ya Basi wala haijaharibika sana.
Hiyo basi imegongwa na treni,ila kwa tafsiri ya sheria yao ni kwamba basi ndio limegonga treni,lakini kiuharisia ukiangalia basi limegongwa eneo la ubavuni,bila shaka alikuwa katikati ya reli
Pasua kichwa;Hii kusema kuwa treni haikuwasha taa wala kupiga honi kwa mazingira ya kawaida injini ya...
Unalipa nauli pesa nyingi afu kuchimba dawa unaambiwa dakika 10,Bora tujitafutie hata IST cha kusafiria hata kama itachukua siku 2 na mafuta ya laki na nusu
Unakuwa free na unaenjoy safari,tukifika shelui tunashuka na kuwa salimia wananchi,
Kwani Kuna waliosomea kuwa wa kuu wa mikoa? in Magufuli voice.
Katika watanzania takribani million 45 kumrudisha chalamila kwanini husijaribu na watu wengine uone ufanisi wao?
Habarini wanajukwaa Samahani, ninaomba msaada kwa mwenye kujua, maana hii account inaonekana inawatumia watu sms za kazi ambayo malipo yake kwa siku ni 50,000 kitu ambacho si kweli ni utapeli.
Samahani mwenye kujua jinsi ya kuondosha hili jambo anisaidie tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.