Naandika haya kwa uchungu dhidi ya huu mtandao wa vodacom.Tarehe 25/4 saa 7 na robo mchana nilipigiwa simu dada kazidiwa tena kutoka kwa majirani, niliwaomba watafute gari wamkimbize hospital mimi niombe ruhusu kibaruani nitawakuta huko.
Kwenye akaunti yangu ya mpesa nilikuwa nina 416,000 tena...
Habari wadau,niko mbioni kufungua car wash yenye kuhudumia magari madogo na pikipiki,nahitaji msaada wenu nitapata wapi mashine nzuri za kuoshea(pressure machine)hatakama used bei zake zikoje na ukubwa upi utanifaa kwa kazi hiyo.wenyeuelewa nisaidieni na hata kama kuna changamoto na mengineyo ya...
NUNDOS INVESTMENT AND CLEANING SOLUTION LIMITED:,
Ni kampuni iliyosajiliwa na uzoefu wa kutosha katika huduma za usafi katika maeneo mbalimbali kama
>ofisini >nyumbani >hospitalin >hotelin na kwenye kumbi mbalimbali.
Kampuni inawataalamu wa kutosha na vifaa vya kisasa vya kufanyia usafi...
wanajukwaa naomba msaada wenu,hapa kwangu kuna kundi kubwa la njiwa lilihamia taklibani miezi 6 iliyopita nikaamini wanapita tu,sasa hivi wamezaliana mamia wameanza kuaribu gypsum na nyumba kwa ujumla.naomba msaada il wahame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.