Wewe naye ........yaani unapima majenerali 3 na viaskari kamanda kadhaa.........una compare na binti wa miaka 10 kweli? Aliyekupereka shule kala hasara
Tatizo la makonda ana ua inzi kwa kumzabua na nyundo wakati inzi anakufa kwa kofi smoothly la mahaba.............hebu ona vitoto vya putin vinavyotoka maporini vikilalama
Kwanza Israel ina maadui wengi lakini bingwa .........na irani ina marafiki wengi ila wahoga.........huyo ayatollah alikimbilia ufaransa mambo yalipo mchachia kwa hiyo lazima apoe......sema atajinasibisha tu kama anajua huku mchezo anauona ulivyo mgumu........UDINI......wairani wengi sio wafia...
Na tena jamaa alikuwa boss kweli kweli sijui sasa watafanyaje maana ni kama anasubiliwa ajikune apigike mpaka akione.......alikuwa anareta mdomo mdomo kwenye vita ya Israel na Palestina.....na bado akawa anashadadia kipigo kwa Ukraine kwa kutoa drone sasa na yeye wamemlaza mazima ........hapo...
Msinge kwenda kula chakula chake........sasa hapo jiulize hao walioenda kwa kafiri hawaujui uislam au hawaitaki fir daus? Haya tujibu wewe muislam wa namabengo mbinga huko ndani ndani
Hakuna lolote .......wale jamaa wanateswa na wanaambiwa hili mateso yapungue kira kitu waseme ni Ukraine......maana hata passport zao walisema ni za Ukraine kumbe uongo mijamaa ni kutoka Tajikistan..........yaani kira wakitaka kufanya kitu kina goma ......ila wanahalalisha vita kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.