Pia zingatia kuangalia yale maandishi mekundu yanakupa ujumbe gani, weka correct attachment type ukikosea sehemu ya ku apply haifunguki
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, jiko sebule, fensi, huduma ya maji ya kuaminika na ya kujitegemea umeme inahitajika maeneo ya njiro au moshono, budget laki 2.5.
hapana madalali. Inbox hapa jamii forums kwa mwenye nayo.
Arusha International Conference Centre (AICC) invite qualified Tanzanians to fill the following posts :-
AUDIT OFFICER (ONEPOST)
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II(TWO POSTS)
NURSE II(ONE POST)
ASSISTANT MEDICAL RECORDS TECHNICIAN II (TWO POSTS)
For more details on the posts go to the Centre’s...
Habari za kazi wadau,
Nimekuwa nikitumia huduma ya Posta kupokea vifurushi nilivonunua kwenye mitandao toka nje ya Tanzania, lakini nasikitika na huduma mbovu inayotolewa, mzigo ukishafika Tanzania, huwezi jua tena ulipo kwa kutumia tracking number na pia si ajabu kutoupata mzigo husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.