Nachukia mtu anaecomment bila kuelewa mada husika halafu anajifanya mjuaji kupitiliza.
Umembiwa hao wamepata ulemamavu na matatizo wakiwa ktk majukumu humohumo ndani ya utumishi wao. Fungua akili kenge we!
Binafsi zipendezwi na mada zenye maisha ya kufikirika.
Ni mtanzania gani unaemueleza kwamba aamke asubuhi na kutoka nje ya nyumba aangalie mandhari ya maua mazuri na ndege wanaovutia?
1.Hawa wanaobanana Manzese na Tandale?
2.Hawa wahitimu wa vyuo wanaomaliza soli za viatu bahasha kwapani...
Ndugu yangu unapata faida kuudanganya umma kupitia hii forum? Binafsi nimesikiliza kipindi mwanzo mpaka mwisho hakuna sehemu Mh Majaliwa amesapoti walimu kukatwa walimu pesa. KUA MKWELI
Alichokisema ni kwamba ho wakuregenzi wanachokifanya hakikubaliki kama ni michango ifanyike kwa makubaliano...
Either Umeelewa hadi ukapitiliza au hukueelewa kabisa,
kilichopo kuna makundi mawili waliomaliza kidato cha 2013 na waliomaliza nyuma ya hapo.
div 4 ya points 26 na 27 kama umemaliza nyuma ya 2013 bado unasifa na kusomea ualimu,
Nijuavyo Mimi
1.waajiri wengi wana roho mbaya za manyanyaso kwa wafanyakazi wao.
2.Wafanyakazi wengi hufanya kazi hiyo kua ni sehemu ya kujishikiza tu wakati anasubiria kukua kiumri ili apate mume wa kumuoa au akatafute kazi zingine zinazofanywa na wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.