Huyo dada anawazingua tu jamani, kila mtu ameumbwa na nafsi (dhamira) ambayo hata mtu asipomwambia kua amekosa yeye mwenyewe ni wa kwanza kujua kua amekosa au kama anachofanya si sawa. Na anajua si sawa ndio maana ameuliza kama ni "SAWA" nafsi yake imeshamwambia kua si sahihi kuwa na uhusiano wa...
kwenye kubadirika ndio issue!!! bibie ajitayarishe kama kuna mambo ya kubadirishwa kuna uwezekano yakabaki vivyo hivyo.
Haya sisi tunawatakia maisha mema, ila KUBADIRIKA MMMMMHHHH!!!
Ni kushukuru Mungu tu kua tatizo halikutokea wakiwa angani, hata hivyo kuwashukuru kwa kazi nzuri ni jambo la muhimu na la busara sababu wangekua wazembe pia labda ndugu zetu wangepoteza maisha, wao ndio marubani wanajua zaidi sisi tutaongea na makelele mengi lakini pengine bila utaalamu zaidi...
HOUSE BOY: BAKARI
Bakari is a house boy who every day drinks the wine of his Boss and puts water in
the bottle to replace what he drank. But the Boss having suspicions as for the
quality of the wine, he decides to buy pastis (a French wine that changes colour if
you add water).
Bakari as...
Mmmh Jamani.
Kwani wewe usichoelewa ni kitu gani hapo mwenzetu? Huyo mwanamke hakutaki na anakutafutia visa!!! Achana naye masharti gani hayo? Kupenda si upande mmoja inatakiwa na yeye akupende pia kama angekua anakupenda wala asingekupa masharti yote hayo, kwani yeye ni malaika hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.