Thamani ya 20B ilikuwa miaka minne nyuma kwa sasani zaidi ya 90B. Aliye changia kupandisha ni MO na amekuwa akitoa 5 B kila mwaka
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ila hii timu bana
1. Wameshindwa kudhibitisha makosa ya mkataba wa bm3
2.Wameshindwa kudhibitisha kuonewa na tff
3. Wameshindwa kujitoa kwenye ligi mana wanaonewa
4. Tff caf cas na fifa kote huko simba wamehonga
5. Wameshindwa jenga timu mbovu
Ila madai yao wana weza zibitisha kwa maandamano ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.