Smile umeongea point kabisa, nakubaliana na wewe kwa 101%. Kama umempenda mtu wala hutaangalia ana nini walahi hata kwangu anahamia tu kama nampenda na yeye ananipenda kiukweli. Hela zinatafutwa tu, ili mradi awe mkweli.
Pole sana mkuu. Ningekuwa wewe ningevunja tu huo uchumba, mi kwangu kosa kubwa kabisa la kuvunja uhusiano ni kucheat. Kama ameshindwa kuvumilia huku mwanzoni kwenye ndoa ndo ataweza. Ila mwamuzi ni wewe.
Nilishawahi kufanyiwa pale TMJ siku nyingi kidogo (mwaka 2008), nadhani watakuwa bado wanafanya. Gharama sikumbuki..maana mwajili alilipia. Ukikosa mtu wa kutoa hint nenda pale nadhani gharama watakujuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.