Kifutu huwa hana shida na mtu hata ukipita jirani hana habari nawe labda umkanyage bila kujua...hapo umeshanunua kesi.Ana sumu mbaya sana na inaozesha jeraha lakini koboko (black mamba) hata bila sababu ikiwa tu mmekutana yeye lazma akuletee noma
Katika group yoyote iwe ni music au hata mipira....lazma kuna mmoja ata shine na ku mask wengine sababu ya nyota hata kama ana talent ya kawaida tu.Kuna watu wamepewa kibali sana cha kukubalika mapachoni na mioyoni mwa watu.Ni karama toka kwa Mungu
Kwanza nikupe pole kwa yote,lakini nikushauri pia kwamba unapopanga kumdhuru mtu kwa jambo kama hilo unajitafutia balaa zaidi kuliko ungepuuzia.Halafu umeshapost humu ni rahisi wewe kutafutwa endapo huyo jamaa atadhurika hata kama si wewe umehusika
Makipa wanaokuwa barca huwezi wajua ubovu wao mpaka waondoke barca.Team inamiliki mpira kila muda so kipa hana stress.De gea amethibitisha ubora wake kwa kuwa yuko utd na amefanya makubwa ingawa team lake bovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.