kuna hatari huo ukawa ndo mwanzo wa kupata viongozi wabovu,navyowajua wabongo hizo paper zitaibiwa tu.....unahitajika mfumo uliotulia kudhibiti haya yote
kuna ukweli ndani yake kwani hata kipindi cha uchaguzi kikifika macho ya wana siasa huwa kwa waganga wa kienyeji zaidi kuliko kumshirikisha Mungu,leo ukipita mitaa ya dar imejaa vibao vingi vyenye namba ya waganga wa kienyeji wanaotoa dawa za ajabu ambazo hazipo sehem nyingine ya dunia kama...
kama mchangiaji mmoja livyosema hapo juu,ipo sheria ya madhara ambayo inaweza kukusaidia kutatua tatizo lako ikiwa ni pamoja na compasation ya damages ulizopata kutokana na uchafu huo pamoja na kufungiwa njia.....unachotakiwa ni kufika kwa mwanasheria na kumweleza ambaye atakupa ushauri wa kisheria
kwanza nampongeza mwandisha wa makala si tu kwa kuelezea wasifu wa Hayati Shelembi bali kwa kwa kutoa moyo kwa wale wote ambao wamekuwa wakipigania maslahi ya nchi na watanzania kwa ujumla.
Ni kweli,tunapoamua kugombea uongozi ni lazima tufanye kwa manufaa ya nchi na tusitangulize tamaa zetu...
safari ya kutafuta utawala wa haki ni ndefu lazima wapo watakaotolewa kafara lakini iko siku moja damu zao ndio itakuwa chachu ya ushindi kwa waliobaki" by tryphone 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.