Ni mwezi wa tatu unakatika Mshahara tunausikia kwenye bomba, Tuna hali mbaya sana, kwa mwenendo huu sijui tutafikaje?
Hivi kuna kipengele chochote kwenye sheria za kazi kinaongelea kucheleweshwa Mishahara?
Hivi kama kijijini kwenu kuna bucha moja tu LA kuuza nyama halafu mbuzi akaibiwa kijini hapo kesho yake mkakuta ngozi ya yule mbuzi jirani MA lile bucha. Kwahiyo mtasema mwizi ni Yule jamaa WA bucha ama?
Huo utakua ni upopoma WA kiwango cha lami
Ninachukia Sana kucoment post niliyoisoma nusu
kiukweli nimesoma hii post nikafika katikati nikahisi naangalia TBC
Acheni upopoma na ulemavu wa akili ndugu zangu
CAG kasema Kati yake ni ukaguzi na uwajibishaji unafanywa na Bunge
Leo Ndugai katika arguements zake angestahili kusema...
mods ninatanguliza maombi musiunganishe him thread na ile thread mama
Kwanza nimshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa nafasi hii kwa siku ya leo
Naombeni niulize wandugu huyu speaker na CAG wote ni watumishi WA uma hivi kulikua na Tatizo gani Lea mheshimiwa ndugai kumpigia simu CAG kumuita kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.