Recruitment zao wanaangalia mtoto wa mjomba kafeli,bas tumpeleke tiss au police hawana mda wa kudeal na intelijensia zao wala uwezo wao wa kufanya hizo kazi
Una uwezo mdogo zaidi wa kufikiri kuliko watanzania,hizo fedha bado zitabaki kuwa za uma,kuweka possibility ya kuzimiliki ni upigaji tu kama kawaida yenu,ingekuwa ni zawadi yake angepelekewa nyumbani kwake chato ili kuepusha maswali yasiyo ya lazima,jitathmini au ww ni mjomba "magu" unatetea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.