NAMSHKURU MAMA YANGU ALIEKUBALI KUACHA KAZI MPAKA LEO KWA AJILI YA KUNILEA , ALILIONA HILO
NANI KAMA "MAMA"
BEKI TATU HAJUI KULEA MATUSI YAMEMJAA MDOMONI,
DAH wanawake hapa hakuna ubishi mmenyweshwa sumu kama waasi wa gadafi
hilo ni kosa kubwa wanalofanya kina mama,
or mara mwanaume gani huchoki,
or mara kila siku,
or mimi nimechoka
so ukipata mtu anayetumika to the maximum kwanini usipone!!!
nadhani mchizi hajafanya fair lakini ni msukumo wa sababu kama hizo!!
kazi hii inafanyiwa promotion na serikali
kwani wauza joto hawawezikukomeshwa?
mimi nadhani kila mwenye umri wa kuoa/kuolewa akamate chombo!!!!
unakuta jitu kubwa halijaolewa unadhani hizo stim anazipeleka wapi
sex is nature bwana.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.