Ila tungekuwa tunapaa magari na ndege visingehitajika kabisa. Maana kuna ndege wanasafiri kila mwaka kutoka Australia kwenda Kitulo Makete Njombe. Wengine wakati wa baridi kali Ulaya wanasafiri kwenda kisiwa cha kule Muleba Kagera kula raha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.