Habarini waungwana!
Mimi ni mwalimu (certificate holder) Nina nia ya kujiendeleza zaidi ya hapa nilipo na natamani sana nisomee "ukaguzi wa shule" kwa kuanza na diploma!
Je diploma hii itanifanya nipige hatua ya kuacha kuchezea chaki, kwa sababu mpaka sasa chaki zinaniumiza sana ( Nina...
Habari waungwana, naomba mnisaidie kama kuna mtu anayefahamu chuo chochote cha urembo hususani nywele!
NB: UKINIPA MAWASILIANO YAO ITANISAIDIA ZAIDI, KIPAUMBELE CHANGU NIPATE CHUO KUTOKA ARUSHA AU MOSHI@
Habari za majukumu ya kila siku wanajamvi, niende moja kwa moja kwenye point!
Nina mke wangu yupo wilaya tofauti na Mimi ninayofanyia KAZI lakini tupo ktk mkoa mmoja, tumeanza taratibu za uhamisho na jambo la kushukuru tumefika pazuri baada ya Afisa elimu na mkurugenzi wake kupitisha barua za...
Nauza kiwanja 25x26 kipo Buhongwa-Mwanza, kipo karibu na huduma za Jamii! Bei Mil. 4.5 mawasiliano 0655206989 au 0762206989 Maelewano yapo kwa mwenye kuhitaji
Kiwanja cha kununua kwa pesa isiyozidi mil.3 au 3.5 kiwe karibu na huduma muhimu kama maji,umeme na barabara ndani ya viunga vya MWANZA tuwasiliane kwa 0655206989.
ANGALIZO: NI LAZIMA KIWANJA KIWE NA UMILIKI HALALI KISHERIA VINGINEVYO USIJISUMBUE@
Hongera sana ewe mwalimu mwenzangu ambaye umemaliziwa pesa yako ya kujikimu pamoja kupata mshahara wa mwezi april, hali ni tofauti sana na huku kwetu halmashauri ya wilaya ya SENGEREMA! Pesa ya kujikimu tulipewa ya siku tatu tu na mpaka sasa hakuna mwenye uhakika wa kumaliziwa pesa hizo, achilia...
IFIKE mahala siasa kama taaluma iwe na mipaka yake. Haiwezekani kuingiza siasa mpaka kwenye masuala nyeti ambayo ndiyo dira ya TAIFA! Hivi viongozi wetu ktk serikali mnawaza nini kuhusu ajira mpya za walimu??? mmetoa ahadi nyingi ambazo walimu wamekua na imani nazo na kuwataka wawe na subira...
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndyo hali inazidi kuwa tete, hakuna mwenye taarifa rasmi kuhusu ajira mpya za walimu kwa TAIFA ambalo lina upungufu mkubwa wa walimu na mipango kadha wa kadha ambayo msingi wake mkuu hutegemea walimu! Kuna kitu gan kinachopelekea usiri huu??? ni vyema kuweka wazi km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.