Waulizeni vizuri watoto zenu.
Wengi wao hupendelea kwenda chuo hivyo wakati mwingine hufanya application pasipo wewe kujua. Kumbuka hao jamaa wanafanya matangazo Sana.
Pia Wanafunzi Ni Kama nyumbu.
Wamama wengi huwanyanyasa wafanyakazi wa ndani.
Mmama hana aibu kutwa kucha kuzurura tu kazi zote anamuachia mtoto wa miaka 10-15 kisa anamlipa mshahara.
Yaani mtoto alelee mwanao,achote maji, afue chupi zako,boxer za mumeo na nguo zako uoizotoka kuzini nazo afu mshahara wenyewe unampa kwa...
English medium schools nyingi huanza kufundisha kusoma na kuandika kiswahili watoto wakiwa darasa la tatu. Je, huyo mtoto alikuwa anasoma somo la kiswahili darasa la kwanza la pili??
Ushauri: Mtafute mwalimu mzuri wa tuisheni wa nursery akusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.