Wabara wakiwa Zanzibar wanachukuliwa kama wanyasa .wakiwa bara.
Ww piga kazi tu uzuri hata wao wenyewe wazazibar wanajijua ni wavivu wakutupwa.
Kuna ofisi moja nilishawahi kufanya kazi huko Zanzibar boss wa hiyo office ambaye ni mpemba anawakandia waziwazi wazazibar wenzake kwamba ni wavivu...
Naongezea, sasa hivi mvua zinanyesha matope Kila sehemu pia wao ndio walikuwa wabebaji wakuu wa jeneza la marehemu sasa ukijumlisha na pirika nyingine msibani lazima uvae kikazi.
Labda walitaka kuufanya uwe cadaver ( dead human body used in scientific and medical research).
Bure kabisa Hawa jamaa yaani wamekaa na maiti karibu week 2 bila kutoa taarifa wanaona sawa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.