Huyu jamaa anafanana na NESA,nilihangaika sana,hadi humu niliomba msaada,ila hollaaaaa,ikabd ninyooshe mikono,kuna kazi za watu ikabd nirudie kwa gharama zangu
Umeshangaa nilichoshangaa mimi!! Mtoto ni wakwako wewe anakushinda,unampelekea Mwl ili amnyooshe,amuweke kwenye njia sahihi na maadili mema, lakini upande wapili huwa tumawaponda sana walimu ilihali ndio wanao kaa na watoto wetu kwa masaa mengi kuliko sisi wazazi.
Kufungua shule siyo kigezo cha...
Kwa maelezo haya,basi kuna uzembe mahali na siyo kama kuna usumbufu. Km ulimpata mtu akakusaidia na ukaipata pesa yako,why kwingine kuwe na usumbufu kiasi cha kukatisha tamaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Awali ya yote nkupe pole Mkuu!!! Laakini la pili nikupe hongera kwa kufanikiwa japo kwa kiasi flani kufikia lengo lako ktk maisha.Tatu,nikupongeze kwa kuoa na kua na familia yako unayoijali,kuipenda na kuithamini pia. Lakini la mwisho,USIUZE MALI ZAKO.Hapa utafanya kosa kubwa sana ktk maisha...
Habari za usiku waanajamvi. Naomba kuuliza,kama mshahara umefungwa unaweza ukapata salary slip? Na km ukipata inakua imeandikwa nini? Maana nina jamaa yangu,alifungiwa mshahara kama miezi saba hivi,akasolve ishu yake ikaisha mshahara ukaanza kuingia.
Cha ajabu ameangalia salaryslip za miezi...
Nimecheka sana mamaaaae!!! Achana na Karma ti,yaani namna alivyoumbuka. 2019 yupo Australia,ila 2020 january kapost akitafuna mke wa mchunhaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni wanajamvi.
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika vizuri sana,umechambua pasi na shaka,ila ndugu yangu kama ulivyosema,Tatizo lipo kwa anayetuongoza. Sidhani kama kuna Mtanzania asiye taka maendeleo,asiyetaka kua na maisha bora,tatizo linaanzia kwenye kichwa cha serikali.
Yeye mwenyewe kwa kauli zake mwenyewe majukwaani,anathibitisha...
Mkuu hawa jamaa hawajielewi
Mkuu hawa jamaa hawajielewi kabisa,na km wanajielewa basi wanajitoa ufahamu. Hivi wagombea wote wameondolewa,walitaka wakampgie kuta nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.