kwa nyakati tulizo nazo ni ngumu sana kumpata mwanamke wa aina hiyo
kwa sababu unaweza ukamuona mpole lkn kumbw kwa wanaume chiriku anapenda kushobokea, wanaume sana anapenda makubwa, wivu kwa sana, hawezi kuzuia hisia zake n.k.........
Hata kichina nacho kimeshika hatam yaani bidhaa zao nyingi lazima waweke japo kaneno kamoja ka kichina
lugha nayo inaishi na chochote kumalizia kinachoishi hukua, na kufa hivyo kiswahili lugha yangu adhwiimu ni kiswahili na siyo kiarabu bali kwani kimekopa maneno ya kiarabu kama kingereza...
jamani mimi ninatatizwa na taarifa ya NACTE kuhusu wale waliokosa kuchaguliwa katika vyuo walivyoomba eti ni KUKOSA NAKALA YA MATOKEO. Je katika form ile kuna sehemu ya nakala ya matokeo? naombeni msaaada ndg zangu.
Mbona kuna mitihani hakufanya mkuu?
mitihan gani mkuu na matokeo yake kwa ujumla yapo je? division ngapi? naomba mnijuze. Saumu abdalah, kisaba sec lushoto tanga.
we dada hee! komaa na uliemfuata cm ikazima ukarudi.kwan jamaa kaepusha msongamano inaonesha mazungumzo yalikuwa na ushahidi wakutosha wa kuvuliwa ch...! pia sio mara ya 1 kachoka.docta jisimamie usirudi nyuma kuuchukua UKIMWI.
Tusaidiane wote kuhusu hili kunyimwa barua ya uhamisho wakati tamisemi wamekuruhusu eti mpka uliyebadilishana naye aripoti. je ma DED wote ktk halmashauri wakiwa na msimamo huo uhamisho wakubadilishana una maana tena?
Na vipi kuhusu barua!!? maana wengi wanalalamika hawajapewa barua zao. mfano chato wanawambia hazijafika. na hata zikifika waliobadilishana hawatapewa mwenzake aripoti ndipo aruhusiwe. je hii ni harali? na kwingine vip mchakato unaendelea vizuri?
Duu.........uh!!! hata mfereji mkuu wa kutoka mto muinga hadi mkundi lunguza na wanaoharibu mambo ni kuanzia ded, engineer wa wly na watendaji na wenyeviti wa vjiji vyote katika eneo lile na mfereji huu ni muhimu sana hadi serikal kutoa mamilion yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.