Msaada mwenye kujua ushuru wa hii gar tafadhali
NISSAN DUALIS 2007 2000CC
Maana haipo kwenye RSP calculator ya TRA
Aliyewahi ileta au mwenye ndugu/ rafik TRA
Kuna taarifa kuwa TRA imeisitisha hii kampuni kuleta magari Tanzania!?
Kuna yoyote aliyetoa gari bandarin. Wiki hii from any company?? Any truth, What is the problem??
2004 model, 1998 CC, A/C, mileage 114000km,Navigation, radio. CD, very good condition, imettumika 1 yr in Tanzania, PRICE 10 M, serious buyers call me 0684_109192
Ulishawahi fanya utafiti huu, used cars nyingi katika show rooms nyingi za bongo mileage less than 70,000km, but katka makampunI mengi toka Japan au England, mileage za magar ni above 70,000km unajua kwa nn??
Xtrail from Japan imetumika miez 9 in Tanzania, auto, 4WD, 1998 CC, AC, power Windows, power steering. ,ABS, air bags, 112000km mileage , in excellent condition , price 12 M. , call me 0684_109192 or watsapp for more photos n info
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.