Search results

  1. K

    Shilingi yetu aibu tupu

    Somalia wana import nn? Au congo? Very lower level of thinking, kukua kwa import kunaendana na demand for dollar baada ya kuongezeka uzalishaji, congo inaweza ikawa juu coz higher mineral export as opposed to tz
  2. K

    Shilingi yetu aibu tupu

    Anlaysis ya uchumi haiko hivyo mkuu, demand ya dollar kwenye hizo nchi husika ni ndogo, ndio maana dollar ipo chini
  3. K

    Natafuta kazi Auditing Firm

    Inategemea umemaliza chuo gani, kama ni sauti, tumaini au kiu ni ngumu kidogo kupata kazi. Inabidi ufanye masters udsm kupolish cheti chako mkuu.
  4. K

    Mishahara ya walimu wa vyuo

    Ni kweli, but ni chuo bora kwa walimu vichwa, wanafunzi wenye akiri nyingi, walimu wa udsm hawategemei mishahara, kazi yao kubwa ni research za world bank, eu,undp etc, walimu wanauwezo mkubwa kufanya consultancy na uwezo mkubwa wa kufanya research. Ondoa shaka ndio maana kinaongoza africa...
  5. K

    Baba afungwa jera miezi sita kwa kumtunza mtoto wake kupitiliza

    Le mutuz ni mtoto wa box, huoni hata kufikiri hatoki nje ya box
  6. K

    John Komba ni janga la CCM

    Komba na sugu na sugu nani yupo vizuri kichwani katika kufikiri? Acheni ushabiki wa kisiasa usio kuwa na tija
  7. K

    Nyumba inauzwa Tabata kinyerezi

    Yeah hii imepitiwa na bomba la gesi
  8. K

    Tija ya Mtandao / Intenet ya Tigo Mhhh

    Watu tumlihama muda sana, tigo majanga kama jina lake lilivyo, natumia zantel, ipo speed sana
  9. K

    Ezekiel Wenje; "Tusipobembelezwa, haturudi bungeni"

    Mbowe na wenje wanatumiwa na kagame, wanatakushusha maendeleo ya nchi, hawana utaifa
  10. K

    china; sasa watu kusafiria suitcases

    Ukawa wamechoka sana
  11. K

    china; sasa watu kusafiria suitcases

    Ukawa wamekupata?
  12. K

    Miaka 10 ya uongozi wa Rais Benjamini William Mkapa

    Jk yupo juu, wanampinga wengi ni machadema yenye uroho wa madaraka, na wafuasi wake wengi ni vijana wahuni wanaoshinda facebook, hata kazi hakuna, fanyeni kazi acheni umbulura, kazi unafiki tuu na malawama,mwacheni jk afanye kazi,amefanya mambo makubwa.
  13. K

    Je,Mawaziri Wanatofautiana Mishahara?

    Mkuu mbona hilo jibu liko wazi, mishahara itakuwa sawa, bila kuangalia experience, serikali inalipa kulingana sera zake, na mawaziri wote wana mishahara sawa but malupulupu yatatofautiana kulingana na wizara aliyopo.
  14. K

    Je,Mawaziri Wanatofautiana Mishahara?

    Ww mjomba umenisikitisha sana, sijajua una kiwango gani cha elimu, taasisi za serikali zinalipwa kutokana na public service scale and is not profit organisation ambazo nyingi wanslipwa kulingana na ugumu wa kazi, kwa hyo rudi shule usome utapata uwezo wa kupambanua mambo. Vile vile kiwango...
  15. K

    Kwanini SAUT wawe wababe kiasi hiki?

    SAUT sio chuo, ni secondary. Vyuo ni UDSM,SUA , MZUMBE na UDOM ukishindwa kabisa kasome IFM au IAA. Umeenda choo cha kike, SAUT ni chuo cha wanafunzi waliopata division 3 na 2 za mwisho. Ila jitahidi umalize mwaka wa mwisho, masters kasome UDSM uimprove cheti chako cha SAUT
  16. K

    Tangazo la serikali - mishahara ya Mei ni tar 03/ Juni

    Acha uchochezi watu toka tarehe 24 tunakula mishahara, wewe ni muongo sana unataka kuuaminisha uma
  17. K

    Naomba ushauri, uume kushindwa kusimama

    Tumia valuer au konyagi kaka, unachukua hata one hr, piga supu ya mkia wa ngombe
  18. K

    Hofu Afrika Mashariki: Uhusiano wa Uamsho, Mombasa Republican watia shaka; Wataka KATIBA kusubiri

    Huna akili mleta mada, hilo kundi ni la kigaidi, hakuna tofauti na boko haramu
  19. K

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Kuongezeka vyama vya siasa na kula ruzuku ya taifa.
Back
Top Bottom