Na Absalom Kibanda
KAMATI maalum ya kutafuta chanzo cha uhasama miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) inayoongozwa na rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, ilimaliza kazi mjini Dodoma mwishoni mwa wiki, baada ya kufanikiwa kupora kwa kiwango kikubwa muda wa vikao vya Bunge la Jamhuri ya...
Na Salim Said Salim
WIMBO maarufu wa dansi wa watoto wa mji kasoro bahari, Morogoro, umetokea kupendwa kwa mantiki yake juu ya hali halisi ya maisha. Kilichopendwa hasa ni ile tahadhari iliyotolewa inayosema, "Tenda wema wende zako…usingoje shukurani."
Lakini, uzoefu mpya wa maisha hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.