Ningeweza kuongezea hapo kwamba matatizo ya jk ni pamoja na hilo la chuo pili kabila na mazingira aliyolelewa kiuongozi ni mwimba taarabu tu
Natambua mvutano utakuwa mkali ila ukweli unabaki palepale tu kwa udsm ni pango la vilaza si watu makini hata kidogo they lack sense of leadership
inasikitisha sana na sielewi kwa nini hawa watu wasiachie ngazi , hawamwogopi hata mungu
jk nae ingekuwa nchi za magharibi angeachia ngazi
God bless us
Hukuna mpambanaji hapa ni wivu na makelele kwa waliokosa nafasi za ufisadi
Tanzania ya watanzania kama jana leo na siku zote amina
Tusubiri wazee wote mungu awachukue ndo tujenge nchi
Dr. Magufuli ni moja ya viongozi mahiri na shupavu sana, ila wanaompinga hawana sera pengine ni wale wale wasiopenda uongozi makini
swala la nyumba za serikali ni siasa tu na si magufuli kwanza mjadala haupo tena
Nani asiyejua kuwa wanamubania kwa kumpa wizara zisofahamika na badala yake...
kazi ipo sololo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mzee six upo mpe maneno magumu huyo mhabeshi kwanza si raia wa tz, ana kivuli cha jeikei huyo lakini nchi ni ya watanzania wote
naona kichefuchefu kuona watu wa ccm wanajitokeza hadharani na ku-argue!!!!
Hawataki kuelewa nchi hii haitapiga hatua , namkumbuka Jerry rowlings yeye aliamua kuwafungia kazi mafisadi
kwani kuna tatizo gani kwenda kuwasikiliza, hofu ya nini?
jamani hawa wanasiasa wanatuchanganya sana ni wala rushwa sana , hakuna cha wapambanaji wa ufisadi hapa ni wote mafisadi kwa ujumla wao
ningewaelewa hapo bungeni kama wangekomaa na hata kujiuzulu kama alivyofanya mrema , serikali chafu...
simjui sana Jairo ila inaonyesha jamaa anipeleka nchi kishkaji sana achilia mbali pengine competence ya mtu lakini tuangalie mlolongo wa washkaji zake jamaa yetu
hawezi kuwawajibisha, hiyo ni weakness ya kila binadamu kuoneana aibu
noma sana hili nchi linavyoongozwa!!!
mimi nasikitika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.