Hata me alinitumia hiyo msg kuna kazi niliomba zoom,kampuni ya barn logistic,sasa hapo kabadilisha jina la kampuni tu,jina ni hilo hilo na namba ya simu ni hiyo hiyo
Mimi ni fresh graduate nina degree ya logistics and transport management na diploma ya cargo kutoka IATA,natafuta kazi au internship, nina experience kwenye fleet management niliyoipata wakati wa practical training, naomba msaada kwa yoyote anaeweza kunisaidia,nawasalisha.
Kama yupo yupo kweli ila kama anajielewa fedha IPO miradi ya kutosha nimkatae kwa lipi yaani namkubali speed mia...nani ahangaike na vijana hao wa 45 hadi 60 ndio wazuriii
Kuna part imenigusa hasaa yaani nilijiona me ni violla ile msg ya mpawa loooooh kuna wakati unakua unasubiri msg matata kutoka kwa hubby ghafla ikiingia unakuta ni mpawa haaaaa
Hivi kweli mwanamke ulie kamilika tena kwa dunia hii ya Leo yenye wanaume wachache unaweza kabisa kumuacha mwanaume kisa kaoa eti kuogopa kua daraja la pili ha ha ha huyo alie achwa ndani ndio kashuka daraja baada ya kushindwa kuilinda ndoa yk hadi mwanaume anaamua kutafuta pumziko nje. Wanaume...
Sasa hujasomea transport hafu unataka kuwa transport officer hivi imekaaje hiyo. How will u knw hw to manage vehicles and drivers,oky unajua kazi za transport officer ni zipi
Humu ndani ni ngumu kukuelewa sasa kama mtu hana kizazi kabisa inakuwaje hawezi kukuasirika cha msingi asimwache na we kaa mbali nae umuheshimu huyo mama asijue umezaa namumewe basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.