Siku hizi kila wiki au wiki mbili kuna mtu anakamatwa na madawa ya kulevya JNIA lakini sijawahi kusikia au kusoma au kuona hata mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa LIVE akihukumiwa au hata kupigwa faini. I stand to be corrected kama kuna ushahidi. Ila hua nasikia watuhumiwa waliokamatwa na madawa yenye...
Wiki iliyopita nilikua maeneo ya Ludewa. nikaona nipite kwa sangoma chap chap ili na mimi nikirudi Dar nijenge gorofa Manzese.
Masharti niliyopewa yalinishinda.
Kwanza kabisa nisiwe na michepuko. nisile nyama na familia yangu. mimi na waifu tuvae nguo hizo hizo wiki nzima bila kufua. chakula...
Ndugu zangu sikuhizi Vodacom wametuwezesha kkuona baadhi ya TV kwenye smart phones. mimi nina samsung s 2 cha ajabu kila nikidown load clip haijionyeshi full screen ila naona 1 cm by l cm katikati ya screen. hebu nisaidieni nione hizi news kwa screen ikiwa full. Natanguliza shukrani.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Napenda nimpongeze meneja wa TRA pale Kibaha kwa kuondoa urasimu na kumfanya mlipa kodi ajisikie vizuri sana. Hakai ofisini muda wote hua anawauliza wateja kila mara kama wamehudumiwa. kama mfanyakazi analeta gozi gozi anaumbuliwa pale pale mbele ya wateja. Sio...
Jamani naomba kujuzwa kama kuna mkoa naweza kupata leseni ya udereva bila rushwa. Dar es salaam na Pwani ziko out.
PCCB FUATILIENI HILI SUALA DAR NA PWANI
Leo nimemuona Muhongo akiwakilisha bajeti yake. kwa kweli alikua anatia huruma kwa ku panic. kumbe zile mbwembwe akiwa nje ya bunge ni daliki za kua coward.
Nimepita pale JNIA Dar mara nyingi kwa safari za ndani na nje. kwenda na kurudi na hata hhuko nje kama JKIA . Entebbe. Dubai.etc. Mbona sijawahi kuchekiwa kama nimebeba madawa ya kulevya ? hao wanaokamatwa nayo wanapitia njia ipi torfauti ? Sio kwamba mie nasafirisha huu ujinga la hasha. lakini...
IN a bid to curb new HIV infection in men, government will carry out a medical male circumcision exercise by force targeting sexually active young men.
Hivi wasoma habari wa TBC. wa kike wanatolewa wapi ? Mbona hawana mvuto hata wakisoma ni kama wanakula makande yaani wameboreka. Bora hata wasome wale wa kiume.
Mimi naona Mhe. Kificho aliliendesha bunge maalum kwa umahiri zaidi kuliko mh. Samwel Sitta. mh. Sitta amepoteza ule umahiri wake aliokua nao waqt akiwa spika.
Kuna mpango wa makusudi wa Vodacom kuwaibia wananchi. Nimeweka vocha ya sh 500. nilipojaribu kununua kifurushi cha 499 naambiwa salio lako halitoshi. kucheki salio nikakuta nina sh 450. nilipojaribu kununua cha 399 nikaambiwa salio halitoshi. nilipowapigia wana beat about the bush. kinakubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.