Miaka 10 mbele kutakuwa na club gani kubwa Arusha yenye hadhi ya Simba na Yanga?
Mkuu mpira wa miguu unachezwa hadharani...iyo Afrika Kusini kuna viwanja ili jenga kwa ajili ya world cup 2010 kwenye baadhi ya miji hivi leo hakuna club zinauwezo wa kuvijaza..! Miaka zaidi ya kumi imepita..!
Mkuu unajua gharama za kutunza uwanja wa watazamaji elfu 60?
Huo wa Mkapa wenye uwezo wa watazamaji elfu 60+ unafahamu huwa unajazwa ( full house) mara ngapi kwa mwaka?
Kimsingi kwa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati na nchi nyingi za Kusini mwa Afrika hazihitaji kuwa na kiwanja zaidi ya...
Mama anapata tabu ya nini? Akubaliane na maamuzi ya mwanae ya kumpiga chini huyo dada kisha jamaa anavuta chombo nyingine ubwabwa unaliwa kama kawaa..! Chapu kwa haraka yani..!
Mkuu hapa mbona unajichanganya na kukiri mkanganyiko...kama Mungu alishapanga kila kitu na anajua hatima ya kila kitu iweje tena atoe uhuru wa mtu kuchagua wapi anapotaka kuelekea?
Kuna watu wana magari yao lakini mara chache wanachukua uber, bolt au boda kwenda kazini…hii haina maana kwamba hawayapendi magari yao bali wanafanya ivyo kwa lengo la kutunza tairi na mailieji ya magari yao…!
Kwa iyo Mkuu,,Duniani ni sehemu ya mateso ndo mana Mungu alimtupa shetani mara baada ya kuhasi? Kwa iyo Mungu alituumba kisha kutuleta sehemu ya mateso ( Duniani) ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.