Sikutambua utamu wa lugha yangu na kiasi inavyoweza kutuunganisha mpaka nilivyokuja kufanya kazi ughaibuni!
Naona wa east africa wakenya, warundi, na waganda wanavyojaribu kutumia kiswahili kama kiunganishi katika jamii yetu ya wageni mbali na nyumbani!
Long live the great mwalimu, whose...
ni utendaji au udini? hata kama wote waislam au wakristo kama wana perform waacheni! kesho mtaanza kuchunguza kuna wachaga wangapi , wasukuma wangapi? simple rule sumu ya ubaguzi ikianza haishi wazalendo hoo chonde jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.