Yanga ndo yenye mashabiki bora kabisa. Wanawasaidia viongozi wao sana. Mchezaji akitoka yanga awe kajipanga ataandamwa kipropaganda Lengo asiwe na madhara kwao.Halafu wakipata mchezaji watampamba kupita uwezo wake. Inaitwa branding
Nani ataisimamia hiyo kesi, maana ndugu zake wamekwenda kituo cha polisi . Wanaambiwa sisi tunachojua yupo nje kwa dhamana mambo ya mahakama sisi ndo tunajua cha kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.