katika wizara ya magufuri kuna watu hatari sana, wanapenda rushwa hao! yaani ukibahatika ukapata ka oda kako baaday ya kusaply sasa ndio utajuta kuwajua, vitu watavitaka haraka sana lakini malipo ni baada ya miezi 10 au mwaka, kwa ujumla mainsha ya mtanzania mwenye kula mlo mmoja akifanya...
naona sasa wako vizuri,na sipeede yao hamna mtandao unawaweza baad ya kujiunga na south africa mtandao wa chin ya bahari lakini gharama zaobado juu sijui wakilala na kuamuka ufikilia kuongeza badala ya kupunguza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.