Jamani ni vizuri kujibu vizuri kwani hata mimi nilikuwa suprised, Ijumaa tarehe 20 July,2012 nilikwenda TRA samora lipia license renewe kwa pikipiki nikalipa elfu50 nikaambiwa sasa uraribu umebadilika unapata license kesho yake sio the same day kama zamani. Nikarudi J3 ambayo ni tarehe 23, ndio...
Kusema ukweli zaidialiulizwa maswali na alijibu vizuri. Ndugu yangu unayebisha takwimuza magari tafadhali go back and work out kwani Dar kuna Institution nyingi, wizara nyingi zenye magari mengi so he might be true
Nimesoma naye kidato Kimoja Ilboru seconadry, ni kweli alikuwa anapenda sana mademu na njia aliyokuwa anatumia ni UKWATA, na kweli alikwenda Marekani through sponsoship the kwenye Religion Organiazation,then akiwa marekani akawa anacoordinate watu kwenda Summer holiday, Watu wakawa wanazamia...
Kwa sasa ni mbunge wa Africa Mashariki. Ni mmoja wa mafisadi. Kuna wakati alikuwa ni mjumbe wa tume ya kurekebisha mashirika ya Umma na akuziwa eneo lilikuwa la NAPOCCO kule Gongolamboto kwa bei chee akaanzisha shule,Sasa kagawa eneo kawauzia Kampala International University na pia mmoja wa...
AS mentioned, Hata mimi nadhani Mpoki Deserve. Alisoma Ilboru Seconadry in 90's na wakati huo kulikiuwa na watoto wengi walirudi kusoma nchini toka nje ya nchi, hakuwa na classes kama wengine, was friendly na mtu wa watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.