Bavicha wametoa saa 72 Serikali iwe imetoa mikopo kwa wanachuo.
SWALI: Kwanini bavicha wasitoe saa 24 CHADEMA iwe imewalipa wale wote waliyokuwa mawakala wao siku ya uchaguzi kwa sababu hadi leo wana lalamika hawajalipwa? Au ndo kuingilia kazi zisizo wahusu ili waonekane wao ni bora sana?
Taja sababu mojawapo iliyosababisha ukubali mabadiliko.
Naanza mwenyewe., Serikali kushindwa kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji hadi kufikia hatua ya watu kuuwana.
Endelea ..........
Hii timu yetu ya taifa kama ni majina tu,! Ilishakuwa na majina mengi. Pamoja na hayo yote nisawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Makocha wa aina zote! lakini wapi. Kwa nini J. Malinzi asiichukue timu yake waende kwa mzee Rukhusa wakamwombe atengue ile kauli yake ya soka la Tanzania ni sawa na kichwa...
Tofauti na kazi uliyonayo, ungependa kufanya kazi gani? Labda ulipokuwa mdogo ulikuwa unasema nikiwa mkubwa napenda kufanya kazi fulani na sasa siyo kazi uifanyayo.
Polisi wanapokamata madawa ya kulevya kama bangi n.k, hutangazia umma na kutuonyesha kwenye vyombo vya habari.
Swali: mbona sijawahi kusikia wala kuona wakitangazia umma huohuo kwamba leo au kesho tunateketeza madawa ya kulevya tuliyoyakamata?
Ngeleja nae naona kaposho ka escrow kamemsukuma hadi kutangaza nia. Nadhani kama JK muda ungekuwa unaendelea, wange mpindua kwa sababu ni wengi mno hadi inakera. Wanamkashifu JK utadhani hawakuwa viongozi wa awamu ya nne!!!
Kawaagiza abiria wa mabasi kuwa, wawapige picha madereva wanaotoa rushwa kwa askari wa usalama barabarani na kuzituma kwa wahusika.
Mara hii tu amesahau ya mwandishi wa habari Jerry Mulo aliyewapiga picha traffic wakipokea rushwa na wakamuundia zengwe kwamba kamuomba rushwa mkurugenzi fulani ya...
Zeruzeru, Albino, Albinizim, Walemavu wa ngozi, Wenye ualbino n.k naomba kujua jina kamili kati ya haya ni lipi?
Nauliza hivi kwa kuwa nimewasikia kwenye vyombo vya habari wakivutana.
Kipi bora kwao, kutafuta jina zurii au kuibana Serikali iwahakikishie usalama wa uhai wao? Je misaada...
Jamani ee, hivi hawa wananchi wanaolinda usiku (sungusungu ) wakiwasaidia polisi kama ulinzi shirikishi au polisi jamii,
Je, kuna kipengele kinacho watambua na kuwatetea kulingana na kazi wanayoifanya? Nauliza hivyo kwa sababu wale jamaa wakikudaka umechelewa, " hata ukiwaonyesha kitambulisho...
Kati ya Vyama vyote vya siasa tulivyonavyo Tanzania, ni chama kipi ambacho unaweza kusimama kwa uhakika na kusema chama hiki ndo chama cha Watanzania kwa sababu kiko mbele kutetea maslahi ya Watanzania" ?
Katiba inayopendezwa inasema kiongozi wa Umma atawekewa masharti ya kufungua account nje ya nchi. Kumbe yaleyalee tuliyonayo sasa ndo yanaendelea tena.
Tutafakari sana kabla siku ya kupiga kura kuhusu Katiba haijafika "
Uhuru wa Tanganyika tarehe 9 December
Mapinduzi ya Zanzibar tarehe 12 January
Siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 April
Swali: Tunaadhimishaje siku ya Taifa ambalo halipo?
MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO:
75: Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano
76: Mamlaka ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano
Swali; Kwa nini namba 77 isingekuwa Mamlaka ya Serikali ya Tanganyika kwa mambo yasiyo ya muungano? Badala yake namba 77 imekuwa hivi "...
''Mtegemea cha nduguye..''
Hivi ni kweli kwa dunia ya leo Tanzania ni ya kulaumu Kenya na kuwabembeleza wakati asilimia kubwa ya Mbuga ya Serengeti ipo kwetu!
Wakati Sirikali ikiua shirika la ndege ATC ilikuwa inategemea nini? Wacha tukome, halafu hamchoki kusema kwa viapo feki eti Serikali...
Jeshi la Tanzania JWTZ kwenda kulinda amani nchi nyingine kama vile Drc, Sudan n.k, Swali: Ni kuganga njaa au ni umahiri wa jeshi letu na kuaminiwa na nchi za wenzetu kuwa tunaweza sana na tuna mbinu nyingi za kukabiliana na adui? Nauliza hivyo kwa sababu sijaona nchi kama Misri, Tunisia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.