Kabla sijajibu kitu naomba kufahamu kama gari yako inatumia diesel au petrol? sababu kuna tofauti ya kufanya visual inspection kati ya gari ya petrol na diesel inapotokea tatizo la starting kama hili..
Mkuu umeandika kitalaamu au umeandika kwa uzoefu wa mtaa?
Kwanza kabisa plug haiwezi kushika kutu kutoka na mazingira yake ya utendaji bali inaweza kushika kitu kama masizi yanayotokana na mlipuko katika combustion chamber
Lakini pia plug haiwezi kuwa sababu ya starter motor kushindwa...
Hiyo chaji umekuwa ukiitumia muda wote kabla ya hilo tatizo?
Kama jibu ni ndiyo, basi tatizo litakuwa kwenye charging stystem..
Suluhisho kabla ya kuingia kwenye mfumo wa chaji
Hatua ya kwanza ni kubaini je battery yako inabadiliko lolote la utunzaji moto kabla na baada ya tatizo
Kwa wale ambao hawajui kuhusu hili tukio lipo yotube, katika mauaji haya alipona mtoto mdogo ambae alichukuliwa na serikali kwenda Dar-es-saalam kuishi na kusomea huko.
Huyu mzee atulie asitafute matatizo na sirikali hauji kama hizo ndiyo silaha kubwa za sirikali kuwachapia wanyonge..
Vuta picha kuna tume huru ya uchaguzi ambayo ndani yake kuna viongozi waotokana na vyama vya siasa kila mmoja anapigania masirahi ya chama chake!
Vuta picha wakurugenzi siyo...
Vipodozi vipo vya aina nyingi tu, unachotakiwa kufanya ni kutafanya utafiti ili kugundua ni vipodozi vipi ambavyo vinaruhusiwa kuingia nchi na vinatoa matokeo chanya kwa mtumiaji(mteja)
Kuna vipodozi aina 933 ambavyo vimetambuliwa na kusajiliwa na mamlaka ya dawa vifaa tiba na vitendanishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.