CHANZO CHA PICHA, SOLAR ORBITER/EUI TEAM (ESA & NASA)
Maelezo ya picha,
Mshale unaonesha mwako.
Picha za jua zilizopigwa kutoka umbali wa kilomita milioni 77 tu ni za hivi karibu kuwahi kupigwa kwa karibu zaidi kwa kutumia kamera.
Picha hizo ni kutoka Shirika la Anga la Ulaya kupitia setilaiti...
Habari zenu wakuu bila kuzunguka acha niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Mimi ni muajiriwa katika taasisi moja hapa nchini.Miaka miwili iliyopita nilichukua mkopo katika benki moja maarufu tu.Baada tu ya mkopo kuingia kwenye account yangu mwezi uliofuta nilianza kukatwa mshahara...
Hapa nilipo ni mwezi sasa unakatika kila siku lazima nimeze diclopa mbili asubui na jioni laa sivyo nitashindwa hata kuamka kitandani maana maumivu ya kichwa yananisumbua kweli kweli napata mafua mazito sana yanayokaribia kukauka mda mwine yanakua kama na mchamchanga na vumbi na kila nikivuta...
ASKARI WA JWTZ ADAIWA KUJIUA KWA KUJIRUSHA BAHARINI AKISAFIRI NA BOTI
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amefariki dunia baada ya kujirusha baharini akisafiri na boti ya Azam.
Kifo cha askari huyo ni moja ya matukio matatu ya watu waliojitupa baharini wakiwa safarini kwa kutumia...
Wadau msaada haya matunda ya almonds hapa bongo inapatikana sehemu gani.je mti wake unastawi kama nikiamua kuupanda na unachukua mda gani mpaka unakua na kutoa matunda.wapi ntapata mche wake?
Nilinunua kishumbusi chao tar 13/01/2018 wakanipa huduma ya bure ya kifurushi cha bomba. Hadi tar 01/02/2018 nikaamua kulipia kifurushi cha family kwa sh 39000 nikasema ngoja nijaribu nione huduma zao. Leo tar 14.02.2018 wamesitisha huduma wakaniachia channel moja tu no 100 dish.
Nimetumia...
Wadau katika pitapita zangu za nakala na makala mbali mbali nimekutana na hii kitu G.O gazetted officer na non gazetted officer sasa hapo nnashindwa kuelewa ni maofisa wa idara gani na huwa wanateuliwa na nani wanashughulika na nini na dhumuni la hao watu ni kitu gani...
Katika pitapita zangu za mikoa mbali mbali nimegundua lile zoezi la kutokomeza viroba limefanikiwa ila bado vijana wanalewa tu mida ya kazi kumbe wale wauza viroba wamegundua mbinu mpya siku hizi wananunua lile chupa kubwa la konyagi,k vant wanauza kwa vibilauri vidogovidogo kama vile vya...
Naomba kuelimishwa kitu kimoja maana hali nitete kwa ndugu yangu na familia yake. Ni hivi wao wote wawili group lao la damu ni B+. Sasa mkewe amejifungua mtoto kapimwa damu Ana group O hii inawezekana mtoto kua blood group tofauti na wazazi wake au mama alimsaliti baba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.