mtoa mada kaandika vzr bt wachangiaji ndo wanahrbu jukwaa
jamani tumpe kila mtu uhuru wake wa kuamua haijalishi kuwa ni mwana ccm,cdm,cuf,act ,
tukianza kubezana na kudharauliana huku ipo siku tutatafuta kulipuana!!
wengi tunaamini zzk alfanya kosa kubwa la usaliti kama ilivyokuwa kwa yuda...
liko wapi jibu baya hapo???hv ww haujishtukii kuwa unapoteza muda kujadili vitu ambavyo vina harufu ya uvundo wa ubaguzi wa ccm??
tubadilike vijana ndo mana mokiwa alitutukana kijanja kupitia makambajr , kuwa hatuongozwi na wanyoa unga!!!!ni kwa sababu ya ujinga kama huu wa kukesha kwenye...
asome ili iweje??kwani wanaelewa nini??wakati wao wamekazana kunukuu magazeti ya mtanzania na uhuru kuhusu mwigamba#
kwa hoja hizi za mtoi usishangae mtoi kutolewa meno na kucha!!!mtoi kuwa makini coz savimbi na tyson watakusaka popote ulipo ili kukun'goa meno then wasingizie udini,,ati ni...
walau tuwe tuna tumia akili kidogo
hivi kama tume ingeweka kila,takwimu na idadi ya watu waliochangia kwenye, kipengele mbona kila kipengele kingekosa aslimia mia ya walotoa maoni??????
ebu wakati fulani tutumie akili tume imeandika vitu vingi na kila kitu kimezungumzwa kwa takwimu...
nimegundua kuwa wengi mna mapenzi na cdm ila mmejaa mahaba ya zzk
ss cha msingi ni kuwa tafuteni chama chenye sera nzuri kama cdm then muelekee huko na kijana wenu shupavu
tumechoka kumjadili zzk kila siku,,,mnazidi kumdhallsha bure kwani kila siku mnaleta hoja hapa kumhusu yy unafkr...
mkuu maneno yako ni ya ukweli lakini umejaa unafiki mkubwa sana
ni ww na mwenzako njano ndo mlokuwa mnasstza eti zzk kaonewa cz si mchaga ndo mana hatakiwi kuwa kiongozi.
kumbe unatambua kuwa kuna kazi ya kujenga chama kabla ya kuandaa waraka wa ushindi!!???
lazima tuwe wakweli hauwezi...
baada ya ndoa yake kuharishwa ghafla siku mbili kabla ya harusi, Mbunge wa viti maalum(ccm) Mh vicky kamata ,,ametoa wimbo wake mpya kuwatumia ujumbe wale wote walioshangalia ndoa yake kuhairishwa
akizungumza na redio clouds, Mh vicky amesema kuwa ameamua kutunga wimbo kuwapa ujumbe mabinti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.