Pole sana mimi nilishawahi kupata tatizo hilo kwa miezi michache lakini nilikonda sana sana na kichwa kilikuwa kinaniuma sana kama ni muislam nenda kwa ma sheikh wakusomee kisomo na kama ni mkristo nenda kwenye makanisa ya kiroho utapata msaada wa maombi ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.