Ukitaka kujua nani anafurahia zaidi sex kati ya me na ke, chukua kidole chako, chokonoa sikio taratibu halafu usikilizie utamu unakuja wapi, kwenye sikio ama kwenye kidole? Pili unapowashwa ukajikuna, ama kukunwa ni wapi unapata utamu?
Hii ya kusema Tanzania ina wenyewe ndiyo kauli inayotufanya tuwaachie wajinga wachache waendelee kutawala nchi hii na kufanya maamuzi yanayomuathiri kila mmoja. Tujizatiti kudai nchi yetu na kuwaonyesha kuwa tuna uchungu na nchi hii. Kumbuka ule msemo nchi inajengwa na wenye moyo (na kwa...
Kuna mambo yanatokea mengi kuhusu sakata la Dowans na yananifanya nihisi kuwa hakuna coincidence hapa. Kuna utata kwenye kauli ya Rais kuhusu kuwajua ama kutowajua wamiliki wa Dowans. Kuna mashaka juu uamuzi wa chama kuhusu kulipa deni hilo baada ya kauli za wakubwa wa chama kusema deni hilo...
Jamani tatizo hapa ni uchafu na sio kinyaa. Uchafu ni uchafu tu iwe unauangalia ukiwa nchini ama nje ya nchi kwa kutumia picha. Haupaswi kuwepo. Unapaswa kuondolewa. Tumeona picha za coco beach, lakinio yeyote atakayetembelea masoko yetu kama Kariakoo, Mwananyamala, Tandale, Buguruni nk...
Ni muhimu kuwe na matron ama mwalimu kwenye basi na jambo hili ni lazima tulifuatilie wote, yaani wazazi, wamiliki na mameneja wa shule na pamoja na mamlaka zinazohusika. Hatuwezi kuacha unyama wa namna hii ukiendelea.
Aliingia kwa uhusiano na wanasiasa japo alifanya mengi kuibadili TBC na kuifikisha hapo ilipo na ameondoka kwa uhusiano huo huo. Kitu cha kuzingatia hapa ni kuwa wanasiasa wachache sana wameshika nchi hii na wanafanya maamuzi kwa niaba ya watanzania wote milioni 40. Tatizo kubwa hapa ni kuwa...
My Take: Nani kasema kajibu vibaya? Kujibu vizuri au vibaya na kuzomewa ni vitu viwili tofauti. nafikiri tunahitaji tafakari zaidi katika kuchangia. Binafsi sioni ubaya kwa yeye kujimtaja JK (ama hata kama angekuwa mwingine yeyote) kama mchapakazi kwa kadri anavyoona yeye. Tatizo naona watu...
Umenena vizuri kabisa nami naongeza. Ni nani aliyeonja akaacha kuoa/kuolewa kwa sababu si tamu? Pili (hili linahitaji honesty) nini kinafanya watu kuoana ni utamu wa nanilii?
Babu yao umesema kweli, jamii inabidi itofautishe mchumba, mpenzi na rafiki. Naona kama tunaiga mno utamaduni wa wenzetu wa nje kiasi cha kutia aibu. Fikiria ungekuwa mzazi ama ndugu wa karibu wa binti aliyefariki ungejisikiaje kuwaona vijana wenye sura za BANGE wanalia tena kwa maonyesho kwenye...
Nasikitika sana kwa sababu kuna gazeti moja lina picha za msiba na habari fulani ambayo naona inawaongezea uchungu wafiwa. Wanadramatize kwa nini huyu msanii hakutajwa kwenye msiba katika utambulisho na mambo mengine mengi ya kijinga.
Tobaa!!! Yarabi, tumefikia kulinganisha kifo cha Kombe na soo la Muro!!! Sasa tunaenda mbali kwa kutaka kumtetea mwandishi. Jamani suala la Kombe kwa sasa sio siri tena lakini kwa vyovyote haliwezi kulinganishwa na suala la Muro. Jamani, huyu ni mwandishi wa habari ambaye amekuwa celebrity kwa...
Nasikitika, bado ukweli juu ya jambo hili haujulikani. Tumebaki kikisia na kunukuu vyombo vya habari ambavyo katika hili nao sio makini, hawana uchambuzi na kwa vyovyote vile hawawezi kuaminika. Nasubiri taarifa za baadaye leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.