1. Haki na madaraka ya kumpiga mtu haimwondelei mtu huyo haki ya kulia. Kwa hiyo kumchapa mtu kisha ukamwambia "funga mdomo" ni kujipa haki isiyo yako. Iliyo yako ni kuchapa. Mchapwaji ana haki ya kulia na kutolia. Haki hii haiondolewi na mamlaka yoyote ya duniani wala kuzimu.
2. Mtawaliwa ana...
MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam imetengua kufukwa uanchama wabunge nane na madiwani wawili, huku wameitaka Bodi ya Udhamini iliyokuwa chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof, Ibrahim Lipumba kufika mahakamani Jumatatu kwa mahojiano,
Jaji Lugano Mwandambo ametoa maamuzi hayo leo kwa kusitisha...
Lowassa amemkaribisha Nyalandu upinzani akimtaka washirikiane kuhakikisha 2020 wanashinda Uchaguzi Mkuu.
my take
kwa hali hii naamini chama tawala hutolewa madalakani na watu wa chama tawala...so naona chadema ikulu 2020 kama kutakuwa na freedom ku vote na kuhesabu kura
we kaa kimya ...rais kanunua ndege nyingi za wapi.........yan vindege hiv ambavyo kwanza vinakamatwa na wadeni ndio vilete revolution ya viwanja...KIA Ilibinafsishwa coz of wizi wa serikali yetu mpaka ukashindwa kujiendesha si kwamba hawapati pesa
ohhh ndio maana ......yani hawa huwa wananichanganya mpaka nahisi huwa wanajibu wakiwa studio tena pamoja......ila hela zetu walipa kodi zinachezewa balaaa.....
yani kijana unasifia kuweka expensive airport kama ile kuwa an altenative one.....kwa nchi ambayo bado ina uhitaji wa viwanja vikubwa kwa sehemu kama kigoma,dodoma,rukwa na sehemu zote za mipaka ya tanzania......kweli elimu inahitajika
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano - Profesa Makame Mbarawa ameweka jiwe la msingi katika uwanja wa ndege wa Chato wenye kiwango cha daraja la 4C unaojengwa kwa gharama ya Sh. Bilioni 39.15.
Akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi uliofanyika Novemba 4 , 2017, Waziri...
Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kumpongeza aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Nyalandu ambaye leo Oktoba 30, 2017 amefanya maamuzi ya kuachana na CCM na kusema kiongozi huyo amefanya maamuzi sahihi.
Zitto Kabwe amesema kuwa kutokana na uchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.