Search results

  1. N

    Jeshi la police jijini Dar limewakamata vijana 149 Panya road/ Mbwamwitu

    Jaman ebu tutumie akili kidogo hawa vijana wanawadhuru walala hoi wenzao ndo maana tunawalaani asilimia zote.lakin mafisadi hawaji kupora simu yako wala bodaboda yako.siwatetei mafisadi!
  2. N

    Mh: Zitto kabwe tunakuomba msamaha sisi wana CHADEMA haturudii tena

    Labda mimi niseme kwamba zito ni mtu makini sana katika taifa hili,ni mtu alie tuamsha watz wengi hasa kipindi kile cha bunge lililopita akishirikiana na dr slaa na hamad rashid.tatzo letu watz ni wepesi wa kuchukuliana hatua hasa mtu anapogusa aidha nafasi ya mtu ya uongoz au maslahi ya...
  3. N

    differences between fascism and racism

    Google ameshindwa kukupa majibu?Muulize yeye kwanza
  4. N

    Ajali ya tokea halmashauri ya Mtwara

    ni ajali mbaya sana gari ndogo imewaparamia wanafunzi wakati wanakimbia mchakamchaka na kuua 5 on the spot na majeruhi wengi sana, ni shule inayofadhiliwa na mustafa sabodo ipo nje kidogo ya manispaa ya mtwara
  5. N

    Ajali ya tokea halmashauri ya Mtwara

    Watu wapo bize na kuchangia threads za siasa.ajali hii ingetokea kaskazini ungeona watu wangelivyo taharuki.
  6. N

    Utata interview za tume ya ajira(PSRS)

    naombeni mjina ya walioitwa necta
  7. N

    NECTA Tulipeni pesa zetu!

    wewe ndo ujui bajeti ya uendeshaji mitihan inatoka nectaTAMISEMI inahusikaje.necta ni taasisi chini ya moevt wanafungu lao
  8. N

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    fanya ya fuatayo1 jishugulishe kama vile biashara 2,jichanganye na vijana wenzako ktk mambo mbali2 eg michezo,kilimo etc 3 usiwe mbali na mkeo,4 shiriki ibada kwa wingi,5 funga kila baada ya cku 2,jiepushe kuwa karibu na chumba au nyumba yako kila wakati
  9. N

    Mtihani kidato cha nne: OCD wilaya ya Kondoa ampiga vibaya mkuu wa shule wa Kikore

    Nichemba maalumu iliopo ndani ya ofisi kwa ajili ya kutunzia vitu vya siri kama mitihani, vyeti vya wanafunz waliomaliza, faili za siri za walimu au watumishi na hata fedha sometimes still cabinet zaweza tumika kama strong room.umenipata wangu?
  10. N

    Mtihani kidato cha nne: OCD wilaya ya Kondoa ampiga vibaya mkuu wa shule wa Kikore

    hata mimi nisingekubali.tungerudi wote kituoni bakora zote hizi huko mashulen ningempiga hata kwa slesha la shule
  11. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mtwara (v)msimbati uwekeze nije mkuranga (sekondari) ukiwa tayari jieleze hapo chini
  12. N

    Mwalimu festo ndunguru-singida vijijini

    Nitakupatia muda c mrefu ngoja nichongenae kwanza isije ikawa unadili nae mbaya
  13. N

    Airtel Money

    KABISA hakatwi mtu iwe ya kudumu na wajiunge na nmb mobile ndo watamaliza kila kitu
  14. N

    Chupi

    chupi haina kazi ila ina matumizi.sema matumizi ya chupi uses
  15. N

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    nanguruwe mtwara,nakapanya ruvuma
  16. N

    HI

    nawasalimu ma seniors na ma juniors
Back
Top Bottom