wewe unataka kwenye picha hiyo kila mtu aonekane....!! mbona mtoto wake kinje haonekani hapo...kwa hiyo na yeye hampendi babake..??
akili za balimi hizo.
....FROM TUNDU LISSU......
Tundu Lissu:
Dear members.
Sorry to disturb y'all again. I'm relieved to have to inform you that I'm free, for now at least.
A short while ago the Regional Police Commander for Dodoma came into the courtroom to personally inform me that he's under no instructions to...
kwa hiyo wewe unadhani ni vita ya ngumi au..??? kwamba wengi watashinda..?? kama ni ngumi mm mwenyewe naweza kumpiga magufuli...!! ni vita ya kisheria...!!!
kipaumbele cha kwanza..ELIMU....cha pili ...ELIMU....cha tatu ..ELIMU.
hao majaji hovyooooooo...............!!! sheria ipo wazi kabisa, ni mita 200.
hamtoweza kuzuia nguvu ya umma...!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.