Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!

NGolo Kante

Member
Feb 28, 2017
80
131
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Kego Masha atangaza Kujivua Uanachama wa CHADEMA.

- Adai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali



Masha.png
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom