Kweli jamaa namkumbuka sana kipindi kile cha Hawamu akiwa waziri Elimu...kuna kamgogoro flan hivi tulikafanyaga akiwa na Naibu waziri wake anaitwa somebody Mrugoo walituzingua sana...Ila huyu Mwamba alikuwaga Mpole sana ata ukikutana nae anaongea poa sana.
Mabasi ya Mtwara, Lindi na Tanga na zile bots za pemba na ugunja huwezi kuta nyimbo za Roze muhando wala bahati bukuku...ni swaga za Istaadh kipozeo na Nyundo wakisindikza kwa kaswidaa kwa mbaaaali.
Kuna Mijinga humiu imekaza mama kaupiga mwingi kaanzisha miradi ya kila namna kumbe moradi hewa,anakumbatia wapigaji na wakwepa kodi ingawa riport za CAG zinafumuka kila siku...Huyu Jamaa alitakiwa kuwa na damu nyingine huku Tamzania....
Wewe ni kichaa Kusifia Jazzy Band,ishu sio kuongea majukwaani au bungeni wamepeleka hela tu,hizo hela zimefika huko zote,mradi umeanza na umeisha na wana Geita wanapata hayo Maji?..alichofanikisha i Royal Tours.
Asee ata mimi uwa nawashangaa sana na uwa nabaki najiuliza huyu mtu anatoka kimara mpaka Posta bus tupu halina abria anatumia mafuta au maji,hayo mafuta hesabu yao uwa ikoje?
Hana mradi kaanzisha bwana...sema ni bingwa wa kukopa tu,anakopa analeta watu wanapiga anarudi tena kukopa analeta watu wanapiga....alafu yeye yupo kimyaaaa...Ni ajabu kuwa Rais wa karba kama yake.
Sasa soko si mradi wa manispaa na Jiji?,kwani lilivyoungua lile la karume mchikichini si wamejenga Wamachinga na manispaaa?.
Mradi alizindua ni wa kuwaamisha wamasai,DPW NA ile movie yake ya Royal Tour...huyu mama kafeli sana katika hawamu za hivyo tumewai pitia kama taifa ni ya huyu Mama na JMK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.